Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hapo mtakula mbele za Yehova Mungu+ wenu na kushangilia katika kazi zenu zote,+ ninyi na nyumba zenu, kwa sababu Yehova Mungu wako amekubariki.

  • 1 Wafalme 8:66
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Katika siku ya nane akawaacha watu waende zao;+ nao wakaanza kumbariki mfalme na kwenda kwenye nyumba zao, wakishangilia+ na kufurahi moyoni+ mwao kutokana na wema+ wote ambao Yehova alikuwa ametenda kwa ajili ya Daudi mtumishi wake na kwa ajili ya Israeli watu wake.

  • Zaburi 104:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+

      Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+

      Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+

  • Mhubiri 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa mwanadamu hakuna jambo bora kuliko kwamba ale, naam, anywe na kuifanya nafsi yake ione mema kwa sababu ya kazi yake ngumu.+ Hilo pia mimi nimeliona, naam mimi, ya kwamba linatoka kwenye mkono wa Mungu wa kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki