1 Wafalme 8:66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Siku iliyofuata,* aliwaruhusu watu waondoke, nao wakambariki mfalme na kwenda nyumbani kwao wakishangilia na kufurahi moyoni kwa sababu ya wema wote+ ambao Yehova alikuwa amemtendea Daudi mtumishi wake na watu wake Waisraeli.
66 Siku iliyofuata,* aliwaruhusu watu waondoke, nao wakambariki mfalme na kwenda nyumbani kwao wakishangilia na kufurahi moyoni kwa sababu ya wema wote+ ambao Yehova alikuwa amemtendea Daudi mtumishi wake na watu wake Waisraeli.