Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Jinsi ulivyo mwingi wema wako,+ ambao umewawekea hazina wale wanaokuogopa!+

      Ambao umewapa wale wanaokukimbilia wewe,

      Mbele ya wana wa binadamu.+

  • Isaya 63:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nitazisema fadhili zenye upendo za Yehova,+ sifa za Yehova, kulingana na yote ambayo Yehova ametutendea,+ wema mwingi kwa nyumba ya Israeli+ ambao amewatendea kulingana na rehema+ zake na kulingana na wingi wa fadhili zake zenye upendo.

  • Yeremia 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao hakika watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe juu ya kilele cha Sayuni+ na kung’aa kwa sababu ya wema wa Yehova,+ kwa sababu ya nafaka na kwa sababu ya divai+ mpya na kwa sababu ya mafuta na kwa sababu ya watoto wa kundi na ng’ombe.+ Na nafsi yao itakuwa tu kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+ nao hawatakuwa dhaifu tena.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki