Zaburi 51:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+ Isaya 55:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+
51 Ee Mungu, unionyeshe kibali kulingana na fadhili zako zenye upendo.+Ufutilie mbali makosa yangu kulingana na wingi wa rehema zako.+
7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+