66 Katika siku ya nane akawaacha watu waende zao;+ nao wakaanza kumbariki mfalme na kwenda kwenye nyumba zao, wakishangilia+ na kufurahi moyoni+ mwao kutokana na wema+ wote ambao Yehova alikuwa ametenda kwa ajili ya Daudi mtumishi wake na kwa ajili ya Israeli watu wake.