Zaburi 145:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Unaufumbua mkono wako+Na kutosheleza tamaa ya kila kitu kilicho hai.+ Mhubiri 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na pia kwamba kila mtu ale, naam, anywe na kuona mema kwa ajili ya kazi yake yote iliyo ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+ Mhubiri 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pia kila mwanadamu ambaye Mungu amempa utajiri na mali,+ amempa hata na uwezo wa kula katika hizo+ na kuchukua fungu lake na kushangilia katika kazi yake ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+
13 na pia kwamba kila mtu ale, naam, anywe na kuona mema kwa ajili ya kazi yake yote iliyo ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+
19 Pia kila mwanadamu ambaye Mungu amempa utajiri na mali,+ amempa hata na uwezo wa kula katika hizo+ na kuchukua fungu lake na kushangilia katika kazi yake ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+