Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 104:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+

      Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+

      Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+

  • Mhubiri 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mkate ni kwa ajili ya kicheko cha wafanyakazi, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ndizo hutokeza jibu katika mambo yote.+

  • Waefeso 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Pia, msiwe mkilewa+ divai, ambayo ina upotovu ndani yake,+ bali endeleeni kujazwa na roho,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki