Mhubiri 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+ Luka 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Pia, ninawaambia ninyi, Jifanyieni rafiki+ kupitia mali+ zisizo za uadilifu, ili, zitakapopunguka wawapokee ninyi katika makao ya milele.+
12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+
9 “Pia, ninawaambia ninyi, Jifanyieni rafiki+ kupitia mali+ zisizo za uadilifu, ili, zitakapopunguka wawapokee ninyi katika makao ya milele.+