Methali 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni mti wa uzima+ kwa wale wanaoishika, na wale wanaoishika sana+ wataitwa wenye furaha.+ Methali 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana anayenipata hakika atapata uzima,+ naye hupata nia njema kutoka kwa Yehova.+ Methali 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana nitafanya siku zako ziwe nyingi,+ nawe utaongezewa miaka ya uzima.+