Zaburi 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Mwenye furaha+ ni mtu ambaye hakutembea katika shauri la waovu,+Na katika njia ya watenda-dhambi hakusimama,+Na katika kiti cha wenye dhihaka hakuketi.+ Methali 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hekima inapoingia moyoni mwako+ na ujuzi kupendeza nafsi yako,+
1 Mwenye furaha+ ni mtu ambaye hakutembea katika shauri la waovu,+Na katika njia ya watenda-dhambi hakusimama,+Na katika kiti cha wenye dhihaka hakuketi.+