Zaburi 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sikuketi na watu wasiosema kweli;+Wala siingii pamoja na wale wanaoficha jinsi walivyo.+ Zaburi 69:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wale wanaoketi kwenye lango wakaanza kujishughulisha nami,+Nikawa kiini cha nyimbo za watu wanaokunywa kileo.+ Methali 22:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mfukuze mwenye dhihaka, ili ugomvi utoke na ili mashtaka ya kisheria na ukosefu wa heshima vikome.+ 2 Petro 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana mnajua hili kwanza, kwamba katika siku za mwisho+ watakuja wadhihaki+ na dhihaka zao, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe+
12 Wale wanaoketi kwenye lango wakaanza kujishughulisha nami,+Nikawa kiini cha nyimbo za watu wanaokunywa kileo.+
10 Mfukuze mwenye dhihaka, ili ugomvi utoke na ili mashtaka ya kisheria na ukosefu wa heshima vikome.+
3 Kwa maana mnajua hili kwanza, kwamba katika siku za mwisho+ watakuja wadhihaki+ na dhihaka zao, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe+