Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Sikuketi na watu wasiosema kweli;+

      Wala siingii pamoja na wale wanaoficha jinsi walivyo.+

  • Zaburi 69:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wale wanaoketi kwenye lango wakaanza kujishughulisha nami,+

      Nikawa kiini cha nyimbo za watu wanaokunywa kileo.+

  • Methali 22:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mfukuze mwenye dhihaka, ili ugomvi utoke na ili mashtaka ya kisheria na ukosefu wa heshima vikome.+

  • 2 Petro 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana mnajua hili kwanza, kwamba katika siku za mwisho+ watakuja wadhihaki+ na dhihaka zao, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki