Methali 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Anayelima shamba lake yeye mwenyewe atashiba mkate,+ lakini anayefuatilia vitu visivyo na thamani amepungukiwa moyoni.+ 1 Wakorintho 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Msipotoshwe. Mashirika mabaya huharibu tabia nzuri.+
11 Anayelima shamba lake yeye mwenyewe atashiba mkate,+ lakini anayefuatilia vitu visivyo na thamani amepungukiwa moyoni.+