Ayubu 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nilivaa uadilifu, nao ulikuwa ukinivika.+Haki yangu ilikuwa kama koti lisilo na mikono—na kilemba. Zaburi 132:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Makuhani wako na wavikwe uadilifu,+Nao washikamanifu wako na wapige vigelegele kwa shangwe.+
14 Nilivaa uadilifu, nao ulikuwa ukinivika.+Haki yangu ilikuwa kama koti lisilo na mikono—na kilemba.