Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nilivaa uadilifu, nao ulikuwa ukinivika.+

      Haki yangu ilikuwa kama koti lisilo na mikono—na kilemba.

  • Isaya 61:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakika nitafurahi katika Yehova.+ Nafsi yangu itakuwa na shangwe katika Mungu wangu.+ Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu;+ amenivika koti lisilo na mikono la uadilifu,+ kama bwana-arusi ambaye, kama kuhani, anavaa vazi la kichwani,+ na kama bibi-arusi anayejipamba kwa vitu vya mapambo yake.+

  • Zekaria 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi nikasema: “Na wamvike kilemba safi kichwani pake.”+ Nao wakaweka kilemba hicho safi kichwani pake na kumvika mavazi; naye malaika wa Yehova alikuwa amesimama karibu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki