Kumbukumbu la Torati 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini nchi mnayovuka ili kuimiliki ni nchi yenye milima na nchi tambarare za mabonde.+ Inakunywa maji ya mvua ya mbinguni; Zaburi 65:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Umeielekezea dunia fikira zako, ili uipatie wingi;+Unaitajirisha sana.Kijito kinachotoka kwa Mungu kimejaa maji.+Wewe unatayarisha nafaka yao,+Kwa maana hivyo ndivyo unavyoitayarisha dunia.+ Zaburi 104:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anainywesha maji milima kutoka katika vyumba vyake vya juu.+Dunia imeshiba matunda ya kazi zako.+ Zekaria 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+
11 Lakini nchi mnayovuka ili kuimiliki ni nchi yenye milima na nchi tambarare za mabonde.+ Inakunywa maji ya mvua ya mbinguni;
9 Umeielekezea dunia fikira zako, ili uipatie wingi;+Unaitajirisha sana.Kijito kinachotoka kwa Mungu kimejaa maji.+Wewe unatayarisha nafaka yao,+Kwa maana hivyo ndivyo unavyoitayarisha dunia.+
10 “Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+