14 mimi pia nitatoa mvua kwa ajili ya nchi yenu katika wakati wake uliowekwa,+ mvua ya vuli na mvua ya masika,+ nawe kwa kweli utakusanya nafaka yako na divai yako tamu na mafuta yako.
23 Nanyi, wana wa Sayuni, furahini na mshangilie katika Yehova Mungu wenu;+ kwa maana atakuwa na wajibu wa kuwapa mvua ya vuli kwa kiasi kinachofaa,+ naye atawaletea ninyi mvua kubwa, mvua ya vuli na mvua ya masika, kama pale mwanzoni.+