17 Naye akaendelea kusema: “Tafadhali, mwambie Sulemani mfalme (kwa maana hataugeuzia mbali uso wako) kwamba anipe Abishagi,+ Mshunamu,+ awe mke wangu.”
8 Na ikawa kwamba siku moja Elisha akapita kwenda Shunemu,+ palipokuwa na mwanamke mmoja mashuhuri, na mwanamke huyo akaanza kumshurutisha+ ale mkate. Na ikawa kwamba kila mara alipopita hapo, akawa akiingia hapo ili ale mkate.