Yoshua 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mpaka wao ukafika hadi Yezreeli+ na Kesulothi na Shunemu,+ 2 Wafalme 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ikawa kwamba siku moja Elisha akapita kwenda Shunemu,+ palipokuwa na mwanamke mmoja mashuhuri, na mwanamke huyo akaanza kumshurutisha+ ale mkate. Na ikawa kwamba kila mara alipopita hapo, akawa akiingia hapo ili ale mkate.
8 Na ikawa kwamba siku moja Elisha akapita kwenda Shunemu,+ palipokuwa na mwanamke mmoja mashuhuri, na mwanamke huyo akaanza kumshurutisha+ ale mkate. Na ikawa kwamba kila mara alipopita hapo, akawa akiingia hapo ili ale mkate.