Zaburi 107:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Jinsi anavyosema neno na kutokeza upepo wenye tufani,+Hivi kwamba unainua mawimbi yake.+ Zaburi 147:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anatuma neno lake+ na kuviyeyusha.Huufanya upepo uvume;+Maji hutiririka. Yakobo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akasali tena, na mbingu ikatoa mvua na nchi ikazaa matunda yake.+