Yoshua 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mpaka wao ukafika hadi Yezreeli+ na Kesulothi na Shunemu,+ 1 Wafalme 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na ikawa kwamba baada ya mambo hayo palikuwa na shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, lililokuwa kule Yezreeli,+ kando ya jumba la mfalme Ahabu, mfalme wa Samaria.
21 Na ikawa kwamba baada ya mambo hayo palikuwa na shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, lililokuwa kule Yezreeli,+ kando ya jumba la mfalme Ahabu, mfalme wa Samaria.