Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 22:1

Marejeo

  • +2Fa 8:24; 1Nya 3:11
  • +2Nya 21:16
  • +2Nya 21:17

2 Mambo ya Nyakati 22:2

Marejeo

  • +2Fa 8:26
  • +2Fa 11:1, 13
  • +1Fa 16:28

2 Mambo ya Nyakati 22:3

Marejeo

  • +1Fa 16:33; 2Fa 8:27; Mik 6:16
  • +2Nya 22:12; 24:7

2 Mambo ya Nyakati 22:4

Marejeo

  • +2Nya 24:18; Met 1:10; 12:5; 13:20

2 Mambo ya Nyakati 22:5

Marejeo

  • +Zb 1:1
  • +2Fa 8:25
  • +2Fa 8:15; 10:32
  • +1Fa 22:3; 2Nya 18:14
  • +2Fa 8:28

2 Mambo ya Nyakati 22:6

Marejeo

  • +Yos 19:18; 2Sa 4:4; 2Fa 9:15
  • +2Fa 8:29
  • +2Fa 9:16; 2Nya 22:1
  • +2Fa 8:16
  • +2Fa 3:1
  • +1Fa 22:34

2 Mambo ya Nyakati 22:7

Marejeo

  • +1Sa 2:6
  • +Kum 32:35; Amu 14:4; 2Nya 10:15; Zb 9:16; Amo 3:6
  • +2Fa 9:21
  • +1Fa 19:16; 2Fa 9:20
  • +2Fa 9:14
  • +2Fa 9:6
  • +2Fa 9:7

2 Mambo ya Nyakati 22:8

Marejeo

  • +2Fa 10:10, 11
  • +2Fa 10:13
  • +2Fa 10:14

2 Mambo ya Nyakati 22:9

Marejeo

  • +2Fa 9:27
  • +2Fa 10:17
  • +2Fa 9:28
  • +2Nya 17:3; Met 10:7
  • +2Nya 17:4

2 Mambo ya Nyakati 22:10

Marejeo

  • +2Nya 22:2
  • +2Fa 11:1

2 Mambo ya Nyakati 22:11

Marejeo

  • +2Fa 11:2
  • +2Fa 11:21
  • +2Fa 8:16
  • +2Nya 23:1
  • +2Sa 7:13; 1Fa 15:4; 2Nya 21:7; Zb 33:10

2 Mambo ya Nyakati 22:12

Marejeo

  • +2Fa 11:3
  • +Kum 17:15
  • +Zb 12:8; Met 29:2; Yer 12:1

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 22:12Fa 8:24; 1Nya 3:11
2 Nya. 22:12Nya 21:16
2 Nya. 22:12Nya 21:17
2 Nya. 22:22Fa 8:26
2 Nya. 22:22Fa 11:1, 13
2 Nya. 22:21Fa 16:28
2 Nya. 22:31Fa 16:33; 2Fa 8:27; Mik 6:16
2 Nya. 22:32Nya 22:12; 24:7
2 Nya. 22:42Nya 24:18; Met 1:10; 12:5; 13:20
2 Nya. 22:5Zb 1:1
2 Nya. 22:52Fa 8:25
2 Nya. 22:52Fa 8:15; 10:32
2 Nya. 22:51Fa 22:3; 2Nya 18:14
2 Nya. 22:52Fa 8:28
2 Nya. 22:6Yos 19:18; 2Sa 4:4; 2Fa 9:15
2 Nya. 22:62Fa 8:29
2 Nya. 22:62Fa 9:16; 2Nya 22:1
2 Nya. 22:62Fa 8:16
2 Nya. 22:62Fa 3:1
2 Nya. 22:61Fa 22:34
2 Nya. 22:71Sa 2:6
2 Nya. 22:7Kum 32:35; Amu 14:4; 2Nya 10:15; Zb 9:16; Amo 3:6
2 Nya. 22:72Fa 9:21
2 Nya. 22:71Fa 19:16; 2Fa 9:20
2 Nya. 22:72Fa 9:14
2 Nya. 22:72Fa 9:6
2 Nya. 22:72Fa 9:7
2 Nya. 22:82Fa 10:10, 11
2 Nya. 22:82Fa 10:13
2 Nya. 22:82Fa 10:14
2 Nya. 22:92Fa 9:27
2 Nya. 22:92Fa 10:17
2 Nya. 22:92Fa 9:28
2 Nya. 22:92Nya 17:3; Met 10:7
2 Nya. 22:92Nya 17:4
2 Nya. 22:102Nya 22:2
2 Nya. 22:102Fa 11:1
2 Nya. 22:112Fa 11:2
2 Nya. 22:112Fa 11:21
2 Nya. 22:112Fa 8:16
2 Nya. 22:112Nya 23:1
2 Nya. 22:112Sa 7:13; 1Fa 15:4; 2Nya 21:7; Zb 33:10
2 Nya. 22:122Fa 11:3
2 Nya. 22:12Kum 17:15
2 Nya. 22:12Zb 12:8; Met 29:2; Yer 12:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 22:1-12

2 Mambo ya Nyakati

22 Kisha wakaaji wa Yerusalemu wakamfanya Ahazia+ mwana wake mdogo zaidi kuwa mfalme mahali pake, (kwa kuwa kikundi cha waporaji kilichokuja na Waarabu+ kambini kilikuwa kimewaua wale wakubwa wote,)+ na Ahazia mwana wa Yehoramu akaanza kutawala akiwa mfalme wa Yuda. 2 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala,+ naye akatawala mwaka mmoja katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Athalia+ mjukuu wa Omri.+

3 Yeye pia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu,+ kwa maana mama yake+ alikuwa mshauri wake katika kutenda maovu. 4 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kama nyumba ya Ahabu, kwa maana wao walikuwa washauri+ wake baada ya kifo cha baba yake, kwa uharibifu wake. 5 Yeye pia alitembea katika shauri lao,+ hivi kwamba akaenda pamoja na Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana vita na Hazaeli+ mfalme wa Siria kule Ramothi-gileadi,+ ambako wapiga-mishale walimpiga Yehoramu.+ 6 Kwa hiyo akarudi Yezreeli+ ili apone yale majeraha waliyokuwa wamemtia kule Rama+ alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.

Naye Azaria+ mwana wa Yehoramu+ mfalme wa Yuda akashuka ili amwone Yehoramu+ mwana wa Ahabu kule Yezreeli, kwa maana alikuwa mgonjwa.+ 7 Lakini kuanguka+ kwa Ahazia kulitokana na Mungu,+ alipomjia Yehoramu; naye alipokuja, alienda+ pamoja na Yehoramu kwa Yehu+ mjukuu wa Nimshi,+ ambaye Yehova alikuwa amemtia mafuta+ ili aikatilie mbali nyumba ya Ahabu.+ 8 Na ikawa kwamba mara Yehu alipoanza kubishana na nyumba ya Ahabu,+ akawakuta wakuu wa Yuda na wana wa ndugu za Ahabu, wahudumu wa Ahazia,+ naye akawaua.+ 9 Kisha akaenda kumtafuta Ahazia, na mwishowe wakamkamata,+ akiwa amejificha Samaria,+ nao wakamleta kwa Yehu. Kisha wakamuua na kumzika,+ kwa kuwa walisema: “Yeye ni mjukuu wa Yehoshafati,+ aliyemtafuta Yehova kwa moyo wake wote.”+ Na hapakuwa na yeyote wa nyumba ya Ahazia wa kushika mamlaka ya ufalme huo.

10 Kwa habari ya Athalia+ mama ya Ahazia, yeye aliona kwamba mwana wake amekufa. Kwa hiyo akasimama, akauangamiza uzao wote wa kifalme wa nyumba ya Yuda.+ 11 Hata hivyo, Yehoshabeathi+ binti ya mfalme akamchukua Yehoashi+ mwana wa Ahazia, akamwiba kutoka kati ya wana wa mfalme waliopaswa kuuawa, akamweka yeye na mlezi wake wa kike katika chumba cha ndani cha vitanda. Na Yehoshabeathi binti ya Mfalme Yehoramu,+ mke wa Yehoyada+ kuhani, (kwa maana alikuwa dada ya Ahazia,) akaendelea kumficha kwa sababu ya Athalia, naye hakumuua.+ 12 Naye akaendelea kuwa pamoja nao katika nyumba ya Mungu wa kweli akiwa amefichwa kwa miaka sita,+ Athalia alipokuwa akitawala kama malkia+ juu ya nchi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki