12 Naye akaendelea kuwa pamoja nao katika nyumba ya Mungu wa kweli akiwa amefichwa kwa miaka sita,+ Athalia alipokuwa akitawala kama malkia+ juu ya nchi.+
7 Kwa maana wana wa Athalia yule mwanamke mwovu+ walikuwa wamevunja na kuingia ndani ya nyumba ya Mungu wa kweli,+ na hata vitu vyote vitakatifu+ vya nyumba ya Yehova walikuwa wamevitolea Mabaali.”+