2 Mambo ya Nyakati 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wana wa Athalia,+ yule mwanamke mwovu, walikuwa wamevunja na kuingia ndani ya nyumba ya Mungu wa kweli,+ nao walikuwa wametumia vitu vyote vitakatifu vya nyumba ya Yehova kwa ajili ya Mabaali.”
7 Kwa maana wana wa Athalia,+ yule mwanamke mwovu, walikuwa wamevunja na kuingia ndani ya nyumba ya Mungu wa kweli,+ nao walikuwa wametumia vitu vyote vitakatifu vya nyumba ya Yehova kwa ajili ya Mabaali.”