2 Mambo ya Nyakati 28:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, Ahazi akavikusanya vyombo+ vya nyumba ya Mungu wa kweli na kuvikata vipande-vipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaifunga milango+ ya nyumba ya Yehova, akajitengenezea madhabahu katika kila pembe katika Yerusalemu.+
24 Zaidi ya hayo, Ahazi akavikusanya vyombo+ vya nyumba ya Mungu wa kweli na kuvikata vipande-vipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaifunga milango+ ya nyumba ya Yehova, akajitengenezea madhabahu katika kila pembe katika Yerusalemu.+