2 Wafalme 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zaidi ya hayo, Mfalme Ahazi akakata+ vipande-vipande kuta za pembeni+ za yale mabehewa,+ akaziondoa beseni+ juu yake; naye akashusha ile bahari+ kutoka juu ya wale ng’ombe-dume wa shaba+ waliokuwa chini yake, kisha akaiweka juu ya sakafu ya mawe.
17 Zaidi ya hayo, Mfalme Ahazi akakata+ vipande-vipande kuta za pembeni+ za yale mabehewa,+ akaziondoa beseni+ juu yake; naye akashusha ile bahari+ kutoka juu ya wale ng’ombe-dume wa shaba+ waliokuwa chini yake, kisha akaiweka juu ya sakafu ya mawe.