24 Zaidi ya hayo, Ahazi akavikusanya vyombo+ vya nyumba ya Mungu wa kweli na kuvikata vipande-vipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaifunga milango+ ya nyumba ya Yehova, akajitengenezea madhabahu katika kila pembe katika Yerusalemu.+
19 Nasi tumetayarisha vyombo+ vyote ambavyo Mfalme Ahazi+ aliondoa katika utumishi wakati wa utawala wake katika ukosefu wake wa uaminifu,+ nasi tumevitakasa;+ na tazama, viko mbele ya madhabahu ya Yehova.”