34 Na ile milango miwili ilikuwa ya mbao za mberoshi.+ Zile sehemu mbili za mlango mmoja zilifunguka zikiwa juu ya maegemeo, na zile sehemu mbili za ule mlango mwingine zikafunguka zikiwa juu ya maegemeo.+
7 Pia walifunga milango+ ya ukumbi na kuzima taa,+ nao hawakufukiza uvumba,+ wala hawakumtolea Mungu wa Israeli dhabihu ya kuteketezwa katika mahali patakatifu.+