2 Mambo ya Nyakati 29:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na vyombo vyote ambavyo Mfalme Ahazi aliviondoa wakati wa utawala wake alipokosa kutenda kwa uaminifu,+ tumevitayarisha na kuvitakasa,+ navyo viko mbele ya madhabahu ya Yehova.”
19 Na vyombo vyote ambavyo Mfalme Ahazi aliviondoa wakati wa utawala wake alipokosa kutenda kwa uaminifu,+ tumevitayarisha na kuvitakasa,+ navyo viko mbele ya madhabahu ya Yehova.”