2 Mambo ya Nyakati 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+ 2 Mambo ya Nyakati 28:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na katika majiji yote, majiji ya Yuda, akajenga mahali pa juu+ kwa ajili ya kuifukizia miungu mingine moshi wa uvumba,+ hivi kwamba akamtia uchungu+ Yehova Mungu wa mababu zake.
2 Bali alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata akatengeneza sanamu za kuyeyushwa+ za Mabaali.+
25 Na katika majiji yote, majiji ya Yuda, akajenga mahali pa juu+ kwa ajili ya kuifukizia miungu mingine moshi wa uvumba,+ hivi kwamba akamtia uchungu+ Yehova Mungu wa mababu zake.