2 Mambo ya Nyakati 28:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, Ahazi alikusanya vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli; akavikata vipandevipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaifunga milango ya nyumba ya Yehova,+ na kujitengenezea madhabahu katika kila pembe ya Yerusalemu.
24 Zaidi ya hayo, Ahazi alikusanya vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli; akavikata vipandevipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaifunga milango ya nyumba ya Yehova,+ na kujitengenezea madhabahu katika kila pembe ya Yerusalemu.