Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 7:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Naye akatengeneza beseni+ 10 za shaba. Kila beseni ingeweza kujazwa kwa vipimo 40 vya bathi. Kila beseni ilikuwa na urefu wa mikono 4. Palikuwa na beseni moja juu ya kila behewa kwa ajili ya yale mabehewa 10.

  • 2 Mambo ya Nyakati 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Tena akatengeneza beseni kumi, akaweka tano upande wa kuume na tano upande wa kushoto,+ ili kuoshea humo.+ Wakawa wakioshea humo vitu vinavyohusiana na toleo la kuteketezwa.+ Lakini ile bahari ilikuwa kwa ajili ya makuhani kuogea humo.+

  • Yeremia 52:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na zile nguzo+ mbili, ile bahari+ moja, na wale ng’ombe-dume kumi na wawili wa shaba+ waliokuwa chini ya bahari, yale mabehewa, ambayo Mfalme Sulemani alikuwa ametengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yehova.+ Uzito wa shaba yake haukupimwa—vyombo hivyo vyote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki