20 Na zile nguzo+ mbili, ile bahari+ moja, na wale ng’ombe-dume kumi na wawili wa shaba+ waliokuwa chini ya bahari, yale mabehewa, ambayo Mfalme Sulemani alikuwa ametengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yehova.+ Uzito wa shaba yake haukupimwa—vyombo hivyo vyote.+