14 Yeye alikuwa mwana wa mwanamke mjane kutoka katika kabila la Naftali, na baba yake alikuwa mwanamume Mtiro,+ fundi wa shaba;+ naye alikuwa amejaa hekima na uelewaji+ na ujuzi kwa ajili ya kufanya kila kazi ya kutumia shaba. Basi akaja kwa Mfalme Sulemani, akaanza kufanya kazi yake yote.