Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nitamjaza roho ya Mungu katika hekima na katika uelewaji na katika ujuzi na katika kila aina ya ufundi,+

  • Kutoka 35:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye akamjaza roho ya Mungu katika hekima, katika uelewaji na katika ujuzi na katika kila aina ya ufundi

  • Kutoka 36:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 “Na Bezaleli atafanya kazi, pia Oholiabu+ na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova amempa hekima+ na uelewaji+ wa mambo haya ili kujua jinsi ya kufanya kazi yote ya utumishi mtakatifu kulingana na yote ambayo Yehova ameamuru.”+

  • Danieli 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Mungu wa kweli akawapa watoto hao wanne ujuzi na ufahamu katika maandishi na hekima yote;+ naye Danieli alikuwa akielewa maono na ndoto za aina zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki