Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:98
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  98 Amri yako hunifanya kuwa na hekima kuliko adui zangu,+

      Kwa sababu ni yangu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Methali 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Yehova mwenyewe anatoa hekima;+ kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.+

  • Mhubiri 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana amempa mwanadamu aliye mwema mbele zake+ hekima na ujuzi na furaha,+ bali amempa mtenda-dhambi shughuli ya kukusanya na kuleta pamoja ili tu ampe mtu aliye mwema mbele za yule Mungu wa kweli.+ Hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.+

  • Isaya 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na mtu humrekebisha+ kulingana na lililo sawa. Mungu wake mwenyewe humfundisha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki