Zaburi 119:98 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 98 Amri yako hunifanya kuwa na hekima kuliko adui zangu,+Kwa sababu ni yangu mpaka wakati usio na kipimo.+ Methali 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova mwenyewe anatoa hekima;+ kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.+ Mhubiri 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana amempa mwanadamu aliye mwema mbele zake+ hekima na ujuzi na furaha,+ bali amempa mtenda-dhambi shughuli ya kukusanya na kuleta pamoja ili tu ampe mtu aliye mwema mbele za yule Mungu wa kweli.+ Hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.+ Isaya 28:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na mtu humrekebisha+ kulingana na lililo sawa. Mungu wake mwenyewe humfundisha.+
98 Amri yako hunifanya kuwa na hekima kuliko adui zangu,+Kwa sababu ni yangu mpaka wakati usio na kipimo.+
26 Kwa maana amempa mwanadamu aliye mwema mbele zake+ hekima na ujuzi na furaha,+ bali amempa mtenda-dhambi shughuli ya kukusanya na kuleta pamoja ili tu ampe mtu aliye mwema mbele za yule Mungu wa kweli.+ Hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.+