Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na nyumba zilizojaa vitu vyote vizuri na ambazo hukuzijaza, na mashimo ya maji yaliyochimbwa ambayo hukuyachimba, mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukuipanda, nawe utakapokuwa umekula na kushiba,+

  • Ayubu 27:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yeye atatayarisha, lakini mwadilifu ndiye atakayevaa,+

      Na yeye asiye na hatia ndiye atakayekuwa na fungu katika ile fedha.

  • Methali 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+

  • Methali 28:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Anayezidisha vitu vyake vyenye thamani kwa faida+ na riba humkusanyia tu mtu anayeonyesha kibali kwa watu wa hali ya chini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki