Kumbukumbu la Torati 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na nyumba zilizojaa vitu vyote vizuri na ambazo hukuzijaza, na mashimo ya maji yaliyochimbwa ambayo hukuyachimba, mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukuipanda, nawe utakapokuwa umekula na kushiba,+ Ayubu 27:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yeye atatayarisha, lakini mwadilifu ndiye atakayevaa,+Na yeye asiye na hatia ndiye atakayekuwa na fungu katika ile fedha. Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+ Methali 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anayezidisha vitu vyake vyenye thamani kwa faida+ na riba humkusanyia tu mtu anayeonyesha kibali kwa watu wa hali ya chini.+
11 na nyumba zilizojaa vitu vyote vizuri na ambazo hukuzijaza, na mashimo ya maji yaliyochimbwa ambayo hukuyachimba, mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukuipanda, nawe utakapokuwa umekula na kushiba,+
17 Yeye atatayarisha, lakini mwadilifu ndiye atakayevaa,+Na yeye asiye na hatia ndiye atakayekuwa na fungu katika ile fedha.
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+
8 Anayezidisha vitu vyake vyenye thamani kwa faida+ na riba humkusanyia tu mtu anayeonyesha kibali kwa watu wa hali ya chini.+