Kutoka 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Bezaleli atafanya kazi pamoja na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi* ambaye Yehova amempa hekima na uelewaji ili kujua jinsi ya kufanya utumishi wote mtakatifu kama Yehova alivyoamuru.”+
36 “Bezaleli atafanya kazi pamoja na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi* ambaye Yehova amempa hekima na uelewaji ili kujua jinsi ya kufanya utumishi wote mtakatifu kama Yehova alivyoamuru.”+