1 Wafalme 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na Mungu akaendelea kumpa Sulemani hekima+ na uelewaji+ kwa wingi sana na ukunjufu wa moyo,+ kama mchanga ulio kando ya bahari.+ Methali 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova mwenyewe anatoa hekima;+ kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.+ 2 Petro 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Zaidi ya hayo, ioneni subira ya Bwana wetu kuwa wokovu, kama ndugu yetu mpendwa Paulo alivyowaandikia+ ninyi kulingana na hekima+ aliyopewa,
29 Na Mungu akaendelea kumpa Sulemani hekima+ na uelewaji+ kwa wingi sana na ukunjufu wa moyo,+ kama mchanga ulio kando ya bahari.+
15 Zaidi ya hayo, ioneni subira ya Bwana wetu kuwa wokovu, kama ndugu yetu mpendwa Paulo alivyowaandikia+ ninyi kulingana na hekima+ aliyopewa,