Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+

  • Danieli 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na katika kila jambo la hekima na la uelewaji+ alilowauliza mfalme, akawaona kuwa bora mara kumi kuliko makuhani+ wote wenye kufanya uchawi na wafanya-mazingaombwe+ waliokuwa katika ufalme wake wote.

  • Danieli 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Ee Belteshaza mkuu wa makuhani wenye kufanya uchawi,+ kwa kuwa mimi mwenyewe najua vema kwamba roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako+ na kwamba hakuna siri yoyote ambayo inakusumbua,+ niambie maono ya ndoto yangu ambayo nimeona na tafsiri yake.+

  • Danieli 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kuna mtu mwenye uwezo katika ufalme wako ambaye ndani yake mna roho ya miungu mitakatifu;+ na katika siku za baba yako nuru na ufahamu na hekima kama hekima ya miungu zilipatikana ndani yake, na baba yako mwenyewe, Mfalme Nebukadneza, akamweka awe mkuu+ wa makuhani wenye kufanya uchawi, na wafanya-mazingaombwe, na Wakaldayo na wanajimu, Ee mfalme;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki