Mwanzo 31:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwishowe ikawa kwamba kundi lilipokuwa na hamu ya kupandana nikainua macho yangu nikaona maono katika ndoto+ na tazama, mbuzi-dume wanaopanda kundi walikuwa wenye mistari-mistari, wenye mabaka na madoa-doa.+ Yeremia 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+ “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova.
10 Mwishowe ikawa kwamba kundi lilipokuwa na hamu ya kupandana nikainua macho yangu nikaona maono katika ndoto+ na tazama, mbuzi-dume wanaopanda kundi walikuwa wenye mistari-mistari, wenye mabaka na madoa-doa.+
28 Nabii ambaye ana ndoto, na asimulie ndoto hiyo; lakini yule ambaye ana neno langu, na aliseme neno langu kwa ukweli.”+ “Nyasi ina uhusiano gani na nafaka?”+ asema Yehova.