Mwanzo 31:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Siku moja wanyama walipopata joto la kupandana, niliinua macho yangu na kuona katika ndoto kwamba mbuzi dume waliokuwa wakipanda majike walikuwa wenye mistarimistari, mabakamabaka, na madoadoa.+
10 Siku moja wanyama walipopata joto la kupandana, niliinua macho yangu na kuona katika ndoto kwamba mbuzi dume waliokuwa wakipanda majike walikuwa wenye mistarimistari, mabakamabaka, na madoadoa.+