Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+

  • Mwanzo 46:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Mungu akaongea na Israeli katika maono ya usiku, na kumwambia:+ “Yakobo, Yakobo!” naye akajibu, akasema: “Mimi hapa!”+

  • Kutoka 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye hakuunyoosha mkono wake juu ya wale wanaume mashuhuri kati ya wana wa Israeli,+ bali walipata maono ya Mungu wa kweli,+ wakala na kunywa.+

  • Ayubu 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,

      Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,

      Wakati wa kusinzia kitandani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki