Mwanzo 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+ Mwanzo 46:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha Mungu akaongea na Israeli katika maono ya usiku, na kumwambia:+ “Yakobo, Yakobo!” naye akajibu, akasema: “Mimi hapa!”+ Kutoka 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye hakuunyoosha mkono wake juu ya wale wanaume mashuhuri kati ya wana wa Israeli,+ bali walipata maono ya Mungu wa kweli,+ wakala na kunywa.+ Ayubu 33:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,Wakati wa kusinzia kitandani.+
15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+
2 Kisha Mungu akaongea na Israeli katika maono ya usiku, na kumwambia:+ “Yakobo, Yakobo!” naye akajibu, akasema: “Mimi hapa!”+
11 Naye hakuunyoosha mkono wake juu ya wale wanaume mashuhuri kati ya wana wa Israeli,+ bali walipata maono ya Mungu wa kweli,+ wakala na kunywa.+
15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,Wakati wa kusinzia kitandani.+