Zaburi 119:100 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 100 Najiendesha kwa uelewaji mwingi kuliko wanaume wazee,+Kwa sababu nimeyashika maagizo yako.+ Methali 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hekima ndilo jambo kuu. Jipatie hekima;+ na pamoja na vyote unavyojipatia, jipatie uelewaji.+ Methali 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Iheshimu sana, nayo itakuinua. Itakutukuza+ kwa sababu unaikumbatia.+