Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nina mashauri+ na hekima inayotumika.+ Mimi—uelewaji;+ nina uwezo.+

  • Methali 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Moyo wa uelewaji hutafuta ujuzi,+ lakini kinywa cha watu wajinga hutafuta upumbavu.+

  • Mathayo 13:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na yule aliyepandwa juu ya udongo mzuri, huyo ndiye anayelisikia neno na kuelewa maana yake, ambaye kwa kweli huzaa matunda na kutokeza, huyu mara 100, yule 60, yule mwingine 30.”+

  • Waebrania 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, cha wale ambao kwa kutumia, nguvu zao za ufahamu+ zimezoezwa kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo makosa pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki