23 Na yule aliyepandwa juu ya udongo mzuri, huyo ndiye anayelisikia neno na kuelewa maana yake, ambaye kwa kweli huzaa matunda na kutokeza, huyu mara 100, yule 60, yule mwingine 30.”+
14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, cha wale ambao kwa kutumia, nguvu zao za ufahamu+ zimezoezwa kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo makosa pia.+