Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 12:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mtu mwerevu anafunika ujuzi,+ lakini moyo wa wajinga hutangaza upumbavu.+

  • Isaya 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ambao wamewaambia wale wanaoona, ‘Msione,’ na wale wanaopata maono, ‘Msione maono ya mambo manyoofu kwa ajili yetu.+ Tuambieni mambo laini; oneni maono ya mambo ya udanganyifu.+

  • Hosea 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Efraimu anajilisha upepo+ na kufukuza upepo wa mashariki siku nzima.+ Anazidisha uwongo na uporaji.+ Nao hufanya agano na Ashuru,+ na mafuta hupelekwa Misri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki