Methali 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kila mtu aliye mwerevu atatenda kwa ujuzi,+ lakini mjinga ataeneza upumbavu kila mahali.+ Methali 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wa watu wenye hekima hutenda mema kwa ujuzi,+ lakini kinywa cha wajinga hububujika upumbavu.+
2 Ulimi wa watu wenye hekima hutenda mema kwa ujuzi,+ lakini kinywa cha wajinga hububujika upumbavu.+