Methali 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hekima ya mwerevu ni kuelewa njia yake,+ lakini upumbavu wa wajinga ni udanganyifu.+ Methali 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu asiye na uzoefu huamini kila neno,+ lakini mtu mwerevu huzifikiria hatua zake.+ Methali 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wasio na uzoefu hakika watarithi upumbavu,+ lakini werevu watavaa ujuzi kama vazi la kichwani.+ Mathayo 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+
16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+