Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hekima ya mwerevu ni kuelewa njia yake,+ lakini upumbavu wa wajinga ni udanganyifu.+

  • Methali 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mtu asiye na uzoefu huamini kila neno,+ lakini mtu mwerevu huzifikiria hatua zake.+

  • Methali 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wasio na uzoefu hakika watarithi upumbavu,+ lakini werevu watavaa ujuzi kama vazi la kichwani.+

  • Mathayo 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki