Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wenye hekima watapata heshima,+ lakini wajinga wanainua aibu.+

  • Yeremia 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ee Yehova nguvu zangu na ngome yangu, na kimbilio langu katika siku ya taabu,+ kwako wewe mataifa yote yatakuja kutoka miisho ya dunia,+ nao watasema: “Kwa kweli mababu zetu walikuja kumiliki uwongo mtupu,+ ubatili na vitu ambavyo ndani yake havina faida yoyote.”+

  • Yeremia 44:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 lakini hakika tutafanya kila neno ambalo limetoka katika kinywa chetu,+ ili kumfukizia ‘malkia wa mbingu’+ moshi wa dhabihu na kummiminia matoleo ya kinywaji,+ kama sisi wenyewe+ na mababu+ zetu, wafalme+ wetu na wakuu wetu tulivyofanya katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu, wakati tuliposhiba mkate na kuwa na hali njema, nasi hatukuona msiba wowote kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki