2 Na itatukia katika siku za mwisho+ kwamba mlima wa nyumba+ ya Yehova utawekwa imara juu ya kilele cha milima,+ nao utainuliwa juu ya vilima;+ na mataifa yote yatamiminika huko.+
11 “Na mataifa mengi yatajiunga na Yehova siku hiyo,+ nao watakuwa watu wangu;+ nami nitakaa katikati yako.” Nawe utajua kwamba Yehova wa majeshi amenituma kwako.+