Kutoka 12:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Sheria moja itakuwapo kwa ajili ya mwenyeji na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.”+ Zaburi 82:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usimame, Ee Mungu, uihukumu dunia;+Kwa maana wewe mwenyewe unapaswa kuyamiliki mataifa yote.+ Hagai 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “ ‘Nami nitayatikisa mataifa yote, navyo vitu vyenye kutamanika vya mataifa yote vitaingia;+ nami nitaijaza nyumba hii utukufu,’+ asema Yehova wa majeshi.
49 Sheria moja itakuwapo kwa ajili ya mwenyeji na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.”+
7 “ ‘Nami nitayatikisa mataifa yote, navyo vitu vyenye kutamanika vya mataifa yote vitaingia;+ nami nitaijaza nyumba hii utukufu,’+ asema Yehova wa majeshi.