- 
	                        
            
            Danieli 2:35Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
35 Wakati huo kile chuma, ule udongo uliofinyangwa, ile shaba, ile fedha na ile dhahabu, zote pamoja, zilipondwa na kuwa kama makapi yanayotoka kwenye uwanja wa kupuria wa wakati wa kiangazi,+ kisha upepo ukazipeleka mbali hivi kwamba alama zake hazikuonekana hata kidogo.+ Na lile jiwe lililoipiga sanamu ile likawa mlima mkubwa, na kuijaza dunia yote.+
 
 -